Weitere Songs von Marioo
Beschreibung
Autor: Marioo
Autor: Aslay
Produzent: Kanibal
Komponist: Marioo
Songtext und Übersetzung
Original
Kutoka alooh
(It's Kaniba)
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini to, to, ooh, to
Moyo wake na pini to, to, ooh, to
Mbio za sakafuni hazijawahi kufika hata kwenye mataa
Inawezekanaje uniache halafu nikuombee mema
Kila unachokiona ndio kuwa uyaone sio hayo mataa
Inawezekanaje uniache halafu nikuombee mema
Oh, ubaya ubwela mi' shabiki wa Simba
Ukichapa la kushoto nachapa la kulia simuachii Mungu
Usilete usela kwa msela mi' sijawahi kushindwa
Ulinifanya vibaya ndio maana dua zangu zilifika kwa Mungu
Nacheka meno thelathini na mbili yote nje (ha-ha-haa)
Najifungiaga chumbani nazomea (ooh-oh)
Nacheka meno thelathini na mbili yote nje (ha-ha-haa)
Napata habari ex wangu anaumia, ah
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini to, to, ooh, to
Moyo wake na pini to, to, ooh, to
Ay, mama, we
Mmh, whoa, ooh-ooh
Naona furaha
Mimi nilinung'unika
Nilitokwa machozi yasiyofutika
Nilisurubika nikapata stress za kutaka kufa
Si ulinidharau, hu-hu
Ulivyopata wadau, uh
Walivyopanda dau
Ukanitupa ukaniona nyang'au, uh
Sa'hivi mejipata umechacha umechunda unikomeee, eh
Si ulikua kama Google unajua kila kitu, ushajua haujui
Mwenzako nishajipata napewa mapasi ya Pacome, eh
Si ulikua kama Google unajua kila kitu, ushajua haujui
Henhe
Nacheka meno thelathini na mbili yote nje (ha-ha-haa)
Najifungiaga chumbani nazomea (ooh-oh)
Nacheka meno thelathini na mbili yote nje (ha-ha-haa)
Nimepata habari ex wangu anaumia, lo-lo-lo-lo-lo
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini to, to, ooh, to
Moyo wake na pini to, to, ooh, to
Ay, mama, we
Naona furaha
Nasikia raha, to, ooh, to
Ay, we totolilo, to
Moyo wa
Oh, moyo wake na pini
Shauri yake
Kutokaa
Deutsche Übersetzung
Kutoka alooh
(Es ist Kaniba)
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini zu, zu, ooh, zu
Moyo wake na pini zu, zu, ooh, zu
Mbio za sakafuni hazijawahi kufika hata kwenye mataa
Inawezekanaje uniache halafu nikuombee mema
Kila unachokiona ndio kuwa uyaone sio hayo mataa
Inawezekanaje uniache halafu nikuombee mema
Oh, ubaya ubwela mi' shabiki wa Simba
Ukichapa la kushoto nachapa la kulia simuachii Mungu
Usilete usela kwa msela mi' sijawahi kushindwa
Ulinifanya vibaya ndio maana dua zangu zilifika kwa Mungu
Nacheka meno thelathini na mbili yote nje (ha-ha-haa)
Najifungiaga chumbani nazomea (ooh-oh)
Nacheka meno thelathini na mbili yote nje (ha-ha-haa)
Napata habari ex wangu anaumia, ah
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini zu, zu, ooh, zu
Moyo wake na pini zu, zu, ooh, zu
Ja, Mama, wir
Mmh, whoa, ooh-ooh
Naona furaha
Mimi nilinung'unika
Nilitokwa machozi yasiyofutika
Nilisurubika nikapata stress za kutaka kufa
Si ulinidharau, hu-hu
Ulivyopata wadau, äh
Walivyopanda dau
Ukanitupa ukaniona nyang'au, äh
Sa'hivi mejipata umechacha umechunda unikomeee, eh
Si ulikua kama Google unajua kila kitu, ushajua haujui
Mwenzako nishajipata napewa mapasi ya Pacome, eh
Si ulikua kama Google unajua kila kitu, ushajua haujui
Henhe
Nacheka meno thelathini na mbili yote nje (ha-ha-haa)
Najifungiaga chumbani nazomea (ooh-oh)
Nacheka meno thelathini na mbili yote nje (ha-ha-haa)
Nimepata habari ex wangu anaumia, lo-lo-lo-lo-lo
Siri sio siri tena nimefanikiwa
Kutoboa moyo wake na pini zu, zu, ooh, zu
Moyo wake na pini zu, zu, ooh, zu
Ja, Mama, wir
Naona furaha
Nasikia raha, zu, ooh, zu
Ja, wir totolilo, zu
Moyo wa
Oh, moyo wake na pini
Shauri Yake
Kutokaa